FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Kibu Denis a.k.a John Cena wa klabu ya Simba.
yani mpaka kugusa mpira utinge nyavuni mpaka akusanye miguvu.
 
Jamani uwanja wa Azam unavutia sana ,napenda hayo matangazo yanayopita hapo

Hizi klabu kongwe zijitafakari maanina
Umechunguza hata taa za Chamazi ni tofauti na za Lupaso, uwanja unang'aa mpaka raha angalia sasa mechi za Lupaso usiku kiza
 
Huu ugomvi wa ndugu Wala sicomment chochote.........ila ramba ramba lazima wajue msimu ujao kama wataendelea kuwapa points 3 kaka zao , msimu ujao wataendelea kuwepo hapo hapo chamazi
 
kama hauwezi ushabiki wa mpira kacheze rede na dada zako..
Kama mtu wa kupanick usiingie katika hili jukwaa.
Kuna baya gani nililokwambia mpka ukwazike?
Mkuu achana naye,
Mtu anatukana bila sababu ili iweje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…