Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Anatufanyia mazuri,ni jembe hasa anadefend na kuattack......what a player........Kibu DMlioko uwanjani kwanini hamzomei Kibu toa kibuuu
Guvu moya πPiga La Pili hao....
Wana Uto Wanaumia Sana.
Usinizoee ujinga peleka kwa dada zakoGuvu moyaaa kolo kolo
Guvu moyaaaUsinizoee ujinga peleka kwa dada zako
Milioni 50 kwani Chama hucheza peke yake uwanjani?!Simba Chama hata akitaka mil 50 mpeni. Mechi hizi mbili nilikuwa na mwangalia Saido kama anaweza kuvaa viatu vya Chama ila naye wa kawada.
Saido anamuhitaji zaidi Chama kuwepo uwanjani mkuu......ili apewe pasi nzuriSimba Chama hata akitaka mil 50 mpeni. Mechi hizi mbili nilikuwa na mwangalia Saido kama anaweza kuvaa viatu vya Chama ila naye wa kawada.