FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Ni kama timu haino kocha, watu wameokotwa kijiweni tu wakaitwa uwanjani
Wakati kocha akiachana na Vipers, kuna mwamba alitoa maoni yake. Kwa mechi hizi mbili za Simba ndicho kilichojitokeza kwa mpira wa huyu kocha. Ngoja tuone mbeleni pengine falsafa yake itakuwaje.
 
Yani game moja umeshaconclude? Na kocha vipi mana ameshafanya game mbili.
 
Anaonekana hajacheza mpira mda mrefu mno

In short simba mmefanya US*NGE tena kwenye usajiri

Tuliwaambia mseme tuwachangie tu kama hamna hela

BALEKE AT LEAST
Simba SC ni lonyalonya FC enzi zetu za pale dox stend ndio jina la Simba SC
 
Tatizo la huyo mdau ni efter thought.Kocha huyo huyo aliwafanya wakachukua ubingwa na FA ya Uganda na kufika makundi kwa kumtoa Mazembe.Au alisahau ukocha wake baada ya kuondoka??
 
Tatizo la huyo mdau ni efter thought.Kocha huyo huyo aliwafanya wakachukua ubingwa na FA ya Uganda na kufika makundi kwa kumtoa Mazembe.Au alisahau ukocha wake baada ya kuondoka??
Hakulalamikia mafanikio bali aina ya mpira wake ndicho alichkuwa anakizumgumzia. Ni kama Simba ilivyoachana na kocha Pierre lechantre ambaye hakupoteza mechi ila aina ya mpira wake ukaonekana sio.
 
Wakati kocha akiachana na Vipers, kuna mwamba alitoa maoni yake. Kwa mechi hizi mbili za Simba ndicho kilichojitokeza kwa mpira wa huyu kocha. Ngoja tuone mbeleni pengine falsafa yake itakuwaje.View attachment 2491877
Huyo ndio kocha aliyewapa mafanikio na Uganda muda mrefu hawajafikiniwa kupeleka timu group stage club bingwa. Lakini pia kutinga kwa kuitoa TP Mazembe unafikiri ni kazi ndogo? Hiyo Vipers kaijenga mwenyewe hadi kuwa tishio.

Mimi sitamhukumu hadi baada ya muda wa kutosha kuona hicho kipya alichoweka kwenye timu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa unatizama game ili umtoe kasoro kiherehere tu.
 
Katoe kwanza kinyesi
Anaonekana hajacheza mpira mda mrefu mno

In short simba mmefanya US*NGE tena kwenye usajiri

Tuliwaambia mseme tuwachangie tu kama hamna hela

BALEKE AT LEAST
 
Japo Simba haipo kwenye timu zilizozawadiwa penati nyingi
 
Ila huyu mtangazaji wa Azam sports ananifurahisha na namna anamtangaza Kibu Denis[emoji23]

"Eti anakwenda Kibu Denis wa DUBAI"

Nadhani lengo lake aoneshe utofauti wa Kambi ya Kigamboni na Dubai [emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji28] napenda mbwembwe zake mtangazaji
 
Ina maana mpaka sasa babu onyango ajaleta malalamiko Tu
Kwanza Simba wamefunga goli dakika 2+ kipindi cha Kwanza hii aikubaliki
Pia goli kafunga Jean baleke usajili mpya mechi ya Kwanza na kufunga kwanni iwe ivi tff awaoni hili?
Alafu lile goli pasi ni ya kichwa kutoka kwa kibu d na baleke kafunga kwa kumpiga kanzu kipa hii aikubaliki
Simba Wana makocha 5+ kwenye benchi kwann tff wanaruhusu?
Muwakilishi wetu babu onyango peleka malalamiko Aya sehemu husika tafazali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…