changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Wakati kocha akiachana na Vipers, kuna mwamba alitoa maoni yake. Kwa mechi hizi mbili za Simba ndicho kilichojitokeza kwa mpira wa huyu kocha. Ngoja tuone mbeleni pengine falsafa yake itakuwaje.Ni kama timu haino kocha, watu wameokotwa kijiweni tu wakaitwa uwanjani