Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #41
Kumshukuru Mungu ni Muhimu, kwasababu yeye ni mfalme wa Mbingu na Ardhi.Huyo ni Mtanzania, Watanzania wote wakihojiwa kauli zao za utangulizi hufanana. Wachezaji na makocha wote wakibongo utasikia wakianza kwanza kwa kusema "kwanza namshukuru Mungu kwa............. Ni mazoea tu
Lakini Kauli zingine si muhimu yaani.