FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Huyo ni Mtanzania, Watanzania wote wakihojiwa kauli zao za utangulizi hufanana. Wachezaji na makocha wote wakibongo utasikia wakianza kwanza kwa kusema "kwanza namshukuru Mungu kwa............. Ni mazoea tu
Kumshukuru Mungu ni Muhimu, kwasababu yeye ni mfalme wa Mbingu na Ardhi.

Lakini Kauli zingine si muhimu yaani.
 
Kiongozi alielewa kengeza,shida mgunda anatabia kila akiulizwa majibu yake ni yakujirudia na yasiyo ya kujiamini ndio chanzo Cha madroo na kufungwa Kwa kukosa morari
Ghazwat nawewe unaungana na hii kauli ya kuwa Mgunda katoa sare na kufungwa kwasababu ya timu kukosa morari? Mimi siyo mshabiki wa Simba ila hii kauli napinggana nayo. Isifiikie kumkosea heshima hivyo kisa tu mmepata kocha mpya ambaye ndio kwanza anaanza.
 
Ghazwat nawewe unaungana na hii kauli ya kuwa Mgunda katoa sare na kufungwa kwasababu ya timu kukosa morari? Mimi siyo mshabiki wa Simba ila hii kauli napinggana nayo. Isifiikie kumkosea heshima hivyo kisa tu mmepata kocha mpya ambaye ndio kwanza anaanza.
Mkuu changaule Kwa hilo siwezi kuunga kwasababu kutoka sare ama kufunga kwa Timu inategemea mambo mengi.
 
Kocha wa mchongo kosi langu ili hapa
Manula
mwinuke
Shabalala
Kenedi
Otara
Kapombe namba 6
Okra
Kibu
Antibiotic
Baleke
Sawadogo
 
Huyo hasa ndyo anaetakiwa kushukiriwa kwa kila mwenye akili timamu
Kocha badala ya kuongelea tactics, preparations na analysis ya game yeye ni "tunamshukuru mwenyezi Mungu" tu. Katika mahojiano yake you gain nothing, daily ni same shit.
 
Kazi Tunayo Ahadi Zinaendelea [emoji881][emoji116]
20230122_171533.jpg
 
Hawa Dodoma wameahidiwa pesa ila kama watacheza kiushindani hamna tatizo ila kama watakuja kucheza rafu na kuumiza wachezaji wetu ni wakati mashabiki tuchukue hatua ili iwe fundisho maana hatuna viongozi wanaotambua majukumu yao
 
Hawa Dodoma wameahidiwa pesa ila kama watacheza kiushindani hamna tatizo ila kama watakuja kucheza rafu na kuumiza wachezaji wetu ni wakati mashabiki tuchukue hatua ili iwe fundisho maana hatuna viongozi wanaotambua majukumu yao
Mkuu rodrick alexander Hatua ambazo mashabiki watachukua kama kufanya nini hapo?
 
Kwenye ligi hii ya NBC P. L. timu ya kuizuia Simba ni Azam na Yanga tu basi.

Hao wengine wakipata sare ni fluke.
 
Penalty na Kadi Nyekundu Au Njano si katika sehemu ya mchezo wa Soka?

Mtani Wangu Gongowazi..[emoji196]
Mkuu kadi nyekundu na penati huwa mnazinunua kwa marefa haswa kipindi cha pili mkiona mechi ngumu
 
Back
Top Bottom