Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Afu hii tabia siipendi basi tuInonga mipira yote anarudisha kwa Manula
Inawezekana kila akiwa eneo hilo anahisi anafanyiwa pressing na The King himself MayeleInonga mipira yote anarudisha kwa Manula
Pep mnene tumuongezee mkatabaHii ndo Simba sasa
Tena ndio tumejaa humuWananchi mpo?
Inawezekana kila akiwa eneo hilo anahisi anafanyiwa pressing na The King himself Mayele
Hao mnawashutumu wanatembeza bahasha rekodi inaonesha waliwapiga ngao ya jamii vp nanyi mlitembezewa bahasha?Hapana huo sio mfumo wetu
Unazungumziaje suala la bahasha ndugu mchambua mchele toka Ngada fc? Maana hilo huwa hamkosei kwenye uchambuzi wenu Kwa mechi za wengine.Namba waliobakiza Ruvushooting kwa simba ni namba 6, walishafungwa 3,4,5,_, 7 wanaendeleza walipoachia
JeeHahaha hakuna kitu. Leo mtalaumiana kama kawa
Keyboard leo hamuikimbiiMpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele ya bao tatu kwa bila
Mimi sio muumini wa kauli hiyo, ila hii ukikutana na mtu mwenye imani hiyo basi hoja yako ni nyepesi sanaHao mnawashutumu wanatembeza bahasha rekodi inaonesha waliwapiga ngao ya jamii vp nanyi mlitembezewa bahasha?
Wanatuuzia mara nyingi mkuu,Teja ananunulika Kwa hela ya kete tuHao mnawashutumu wanatembeza bahasha rekodi inaonesha waliwapiga ngao ya jamii vp nanyi mlitembezewa bahasha?
Uhakika bocco anapodharaulika ndio hudhihirisha kuwa yeye ni mchezaji wa daraja lingine.Usijaribu tena michezo ya kubahatisha. Fanya kile ulicho na uhakika.
Sawa?