FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

Mimi sio muumini wa kauli hiyo, ila hii ukikutana na mtu mwenye imani hiyo basi hoja yako ni nyepesi sana

Kwasababu si lazima bahasha ipitishwe kwa timu pinzani, hata Refa akipewa bahasha ana nafasi ya kuifanya timu ishinde
Mkuu baada ya Mechi uje hapa Mikasa Ubungo nina offer yako,kumbe bado watu kama ninyi mpo Tanzania
 
Ila Simba hesabu zao zimenichanganya kidogo

Mi nilitegemea wamalize first half wakiwa na bao 4, wao wametoka na goli 3 afu 7 waje wazimalizie kipindi cha pili
 
Mimi sio muumini wa kauli hiyo, ila hii ukikutana na mtu mwenye imani hiyo basi hoja yako ni nyepesi sana

Kwasababu si lazima bahasha ipitishwe kwa timu pinzani, hata Refa akipewa bahasha ana nafasi ya kuifanya timu ishinde
Mkuu baada ya Mechi uje hapa Mikasa Ubungo nina offer yako,kumbe bado watu kama ninyi mpo Tanzania
 
Dah....! Mkwasa ameyakanyaga...Amedadindia mtumbwi Wa Vibwengo..!
Vipi hao Ruvu ndiyo wangekuwa wanacheza na Yanga, halafu wakafungwa hizo goli? Muda huu mngekuwa ni kelele tu!

Mkwasa kauza mechi! Mkwasa kawaambia wachezaji wake wacheze chini ya kiwango!

Aisee mashabiki wa simba ni pasua kichwa! Muwe mnajifunza kwa mashabiki wenzenu wa Yanga! Hakuna hata mmoja aliyekuja na shutuma za kidwanzi! Ila siyo nyinyi.
 
Huyo mayele mnamtaja sana mpk mnawakera wenzake huko kikosini
Mbona Chama nyie mmelialia sana kukosekana mechi ,na hadi msemaji wenu jana alionekana mwenye furaha huku akimtaja taja kwenye press Chama,unadhani Mkude yeye anafurahi?

Guvu moya 😀
 

Huwa unaangalia mpira au unaskizaga tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…