FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

Guvu moya 😀


Saizi wangekuwa wameanzisha nyuzi kibao humu
 
Kuna Football na Netball... hii leo ni Netball, ila Ruvu mtafika mbinguni mmechoka sana.
 
Kwangu kama kuna sehemu niliwahi kufanya hivyo najiuzulu..! ID yangu ni Vita sasa nawezaje kufanya hivyo..!

. Mnyama Simba ni Nguvu Moja [emoji881]
Basi wewe ujengewe mnara pale Bunju


Guvu moya 😀
 
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa | Ruvu Shooting 0-3 Simba SC
 
Ruvu Shooting wanapata Kona ambayo haikuzaa bao
 
Sawa mwana Simba, ila ngoja niweke hapa post zako za nyuma kuhakiki kama kweli ni mwana Simba
Mkuu mbona comment yangu tu ilionyesha niko upande gani! Ni raha ya lugha unasema Y kumbe unamaanisha Z.
Nilikuwa nawakumbusha juzi mlivyosema.
 
Ametoka Henock na ameingia Mohamed Ouattara, upande wa Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…