FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

Lacapter Mnyana wa majini karudi hakuna Cha yule MLA ngedere kinyesi 🦁 Nguvu Moja.
 
Nani anakuwa na magoli mengi ya kufunga kati ya Yanga na Simba?
 
Ilikua siku ya kupiga pesa leo unaweka kibunda milion 1 unakula dawa ya usingizi unalala.
 
Kibu na Kennedy wameingia badala ya Bocco na Okrah
 
Kama uliangalia game 2 zilizopita utakubaliana na hoja yangu
Niliangalia nikweli ameflop sana,ila kumbuka ndiyo top scorer wa last season,ups and downs kwenye soka ni kawaida,tuache kuwatusi sana hawa watu
 
Namna gani hapa Rashid Juma anashindwa kufunga bao la machozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…