FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

Kibu na Kennedy wameingia badala ya Bocco na Okrah
Huyu Mgunda naye anazingua, ina maana Kibu leo hadi benchi alikuwepo?

Huyu wangempa space kidogo apate recovery sababu hata mentality yake sidhani kama iko poa, Bocco angebaki angefunga zaidi ya hapo.

Hizi mechi ndio za kufunga magoli mengi kwasababu ipo nafasi ya kuongoza ligi kwa wingi wa magoli
 
Niliangalia nikweli ameflop sana,ila kumbuka ndiyo top scorer wa last season,ups and downs kwenye soka ni kawaida,tuache kuwatusi sana hawa watu
Wala sijamtusi mkuu, last season alikuwa vizuri sana. Pengine amelewa sifa.
Nikivuta picha ile game na Singida Big Stars unaona kabisa alivyotukosesha ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…