FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

Sakho majeruhi?

Kama vipi mgunda ajaze viungo wengi. Lirudi soka letu. Kufunga atafunga yeyote. Asilazimishe mastriker butu. Wanaziba nafasi muhimu.
Kwa maslahi ya timu.
Sakho ana gori ngapi kwenye ligi?

Mwachen the Living Legend aanze[emoji16]

Mpira unaweza kumkataa au kumkubali dakika 90 zitaamua.
 
Sakho ana gori ngapi kwenye ligi?

Mwachen the Living Legend aanze[emoji16]

Mpira unaweza kumkataa au kumkubali dakika 90 zitaamua.
Usijaribu tena michezo ya kubahatisha. Fanya kile ulicho na uhakika.
Sawa?
 
Haya kuna wale ambao waliimiss Simba ya kampa kampa tena,mwenye Simba yake leo yupo hii mechi mnashinda tena nyingi kuanzia 2 na kuendelea.

Ila dirisha dogo mtafute mbadala wa Chama,huko CAF mtaumbuka.
 
Kama wachezaji wetu watakuwa hawajatumia Ngada tunaweza kushinda Ruvu siku hizi wabovu
 
Haya kuna wale ambao waliimiss Simba ya kampa kampa tena,mwenye Simba yake leo yupo hii mechi mnashinda tena nyingi kuanzia 2 na kuendelea.

Ila dirisha dogo mtafute mbadala wa Chama,huko CAF mtaumbuka.
Suala la CAF liachie simba.
Club africain asikutie jeuri kiasi hicho.
 
Tanesco wameshafanya yao tokea Asubuhi ,sasa hivi ni mwendo wa radio na "la la la goaaaaal........... anakosa pale........eenhh nini ile goal kick........".
 
Suala la CAF liachie simba.
Club africain asikutie jeuri kiasi hicho.
Sawa ila bila Chama mtani huna timu, kama unaujua mpira na kama umzitizama mechi basi utanielewa ila kama unaendelea na ubishi wako endelea.
 
Wachezaji wanacheza kama walilazimishwa aisee, na leo utaona tofauti nyingine jinsi hizi timu zinavyocheza zinapokutana na Simba ila wakikutana na Yanga sasa oohh asalaleee

[emoji706], Ttz Uwezo Ni Mdogo Ndugu Yangu [emoji28] …. Sio Kukamiwa Ukiwa Na Uwezo Mkubwa Hata Ukamiwe Vp Ushindi Unapatikana [emoji28]
 
Tanesco wameshafanya yao tokea Asubuhi ,sasa hivi ni mwendo wa radio na "la la la goaaaaal........... anakosa pale........eenhh nini ile goal kick........".
Mwambie Kipara Makamba arudishe umeme.! Leo ni sehemu kubwa Dar hakuna Umeme..!
 
Tanesco wamefakisha imenibidi niusikilize kwa Radio tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…