Hatrick amwachie Moseeee π πMaana baada ya dakika Bocco, kipofu kaona mwezi...
Asiniharibie tu utabiri wangu, wa hakuna hat trick π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ulitaka marefa wawe na mpiramarefa hawana mpira wowotee
Sawa πHapo bench panasikitisha
Leo haukamiwi sio[emoji28]?Leo vyura wote watatoka ku mayi
MAMBO YA NGADA HAYO!!Bocco kawa wa moto Leo
We dada si tulikubaliana kila mtu ashinde mechi zakeee.Leo boksa zitajaa nyaaaa