ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ipe neno hii pichaNaheshimu football naheshimu juhudi za wachezaji kujituma uwanjani
Lakini kama utakumbuka hii swala nyinyi ndio mliolianza kwa kuwatisha waamuzi kwenye zile press zenu kwa madai ya kwamba wanaibeba Simba
So na sisi tunapoona errors kwenye mechi zenu tunafanya kuwakumbusha tu