Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
MzunguAziz Ki
Katika soka ushangiliaji wa namna hii unashangiliwa na wachezaji wawili tu dunianiMnaelewa ushangiliaji alioshangilia Mzungu ni wa aina gani?
Unaitwa back pack kid
Ilikuwa created na kitoto kidogo tu kinavaa begi muda wote, ni kidogo sana hata wewe umekizidi, hicho kitoto ni ki dancer.
Kimeimba wimbo unaitwa LITT
Katika soka ushangiliaji wa namna hii unashangiliwa na wachezaji wawili tu duniani
Mmoja ni Pogba na mwingine ndio huyu wa leo kwa Mkapa
Okwa ana wakati mgumu Simba.
We mbwa badili jina lako hapo juu hili jipya litakufaa sana.SIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
Tupunguze ujuajiOkwa ana wakati mgumu Simba.
Bado hajaonesha kabisa uwezo wake
Na ameisha anza kukata tamaa.
Mchezaji wa Kigeni anasajiriwa na haanzi.
Ni huzuni kubwa.
Kama ya Akpan
Na nyie si mna yule mchezaji wa ulaya ambaye mara ya mwisho mmemchukua akiwa sbc depo akiwa kama kuli
Kambale kabakiza miezi 3 ya mkataba, mafanikio yake ni kufunga goli moja kati ya magoli 9 mliyoshinda kwenye ya pre season dhidi ya watoto wa kigamboni.
Saizi naskia tena mnataka mumtoe kwa mkopo, sijui mtampeka wapi na nani atakuwa tayari kumchukua?
Sijaangalia mpira jana. Ila kuna wakati niliskia zogo kweli kweli mpk nikajiuliza uko nje kuna nini!!!!!!aisee mtaa mzima imeshangiliwa kama Tanzania imeingia world cup vile
jana nimeamini simba ina mashabiki wengi kuliko uto😀😀aisee mtaa mzima imeshangiliwa kama Tanzania imeingia world cup vile
[emoji23][emoji23][emoji23]Mzungu kaniokoa, buku zao zimeenda na mma [emoji97]
Sasa kama hujui huyu ndo mtangazaji bora au ulikuwa hufuatilii AFCON Mkuu ila nahc wew unapenda mbwembe tu za mpenja ....fungua ubongo mkuu mbwembwe nyng sio za msingi sanaa kiongoziMtangazaji wa Azam Wa Leo Anaipoza Mechi Yetu kwa Sauti yake Kama Hataki Kutangaza
Umbwa Koko mla kinyesi weweSIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
HahahaWe mbwa badili jina lako hapo juu hili jipya litakufaa sana.
SIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
Hatimaye amepataLeo apewe nafasi ya kuanza Dejan Georgijevic ili aonyeshe alichosema Kocha Zaron Maki kuwa ana timing nzuri movement yake ni tishio kwa walinzi.View attachment 2329223
mkuu uzi wa yanga hauna mengi maana inajulikana anashinda utazungumza nini uzi ufike peji mieUzi wa uto uliishia page ya 11 .. hawana mashabiki.
Simba Hoyeee
#Nguvu Moja
Mayele aka mtingisha manyonyoYule mti
Hata yule mtingisha matiti naye leo alifunga eneo la goli ambapo kipa hakuwepo.
Hence provedTunechungulia hapa matokeo yapo hiv
FT; SIMBA 2- 0 KAGERA