WanathiiimbaaaThis is thimbaa
Jamaa hajamuweka kwenye list ya wafungaji mkuuKafanyaje mkuu?
Simba inatakiwa itumie advantage ya uwanja wa nyumbani kwa kuhakikisha kama inashinda ishinde magoli mengi
Huko mikoani ni kugumu sana na saizi kila timu zimesajili na zinacheza kwa kiwango kizuri
Mnataka draw?Leo apewe nafasi ya kuanza Dejan Georgijevic ili aonyeshe alichosema Kocha Zaron Maki kuwa ana timing nzuri movement yake ni tishio kwa walinzi.View attachment 2329223
Kule mbele tumemuweka banda?
Ngoja tuone