Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Makoloooo, Buku Buku Fc "Wakali Wa Michango" [emoji16]Kitendawili...........!
Akishinda anakuwa nafasi ya pili
Akifungwa anauwa nafasi ya pili
Akidroo anakuwa nafasi ya pili
Ni nani huyo?
Weka jibu lako
Sisi Jana Tulikuwa Tunafukuzia Rekodi Ya Kuchukua Ubingwa Bila Kufungwa Na Kutaka Kumsaidia Mchezaji Wetu Mayele Fiston Azidi Kubaki Kileleni Kwenye Ufungaji Bora.Yaani kuna watu wapuuzi mno kwenye Taifa hili, na wanazidi kuwa wengi.
Eti kwani Simba anagombea nini ilhali Kombe lishachukuliwa tayari
Na jana Yanga alicheza aligombea nini ilhali Kombe ameshachukua..!
Hili ni jipya kwako eeh? Hahaha simba walishafanya haya kitaamboHii mechi haina kabisa msisimko. Nadhani Yanga ndiyo chanzo cha haya yote!
Inakuwaje timu inakuwa bingwa hata kabla ya mechi zote kuisha! Inaelekea kumaliza ligi, bila hata yakufungwa! Mechi lukuki ina clean sheet! Mambo gani haya!
Kwa hili naungana kabisa na msemaji wa simba, ndugu Ahmed Ali! Hii ligi yetu ni dhaifu kabisa! Yaani kila sehemu ni Yanga tu!
Yanga wanatafuta unbeaten record, na nyie mnacheza Leo mnatafuta nn?,ili iweje?Yaani kuna watu wapuuzi mno kwenye Taifa hili, na wanazidi kuwa wengi.
Eti kwani Simba anagombea nini ilhali Kombe lishachukuliwa tayari
Na jana Yanga alicheza aligombea nini ilhali Kombe ameshachukua..!
Kumbe ni mfuto?Kweli kabisa..mpira wenye mfuto wa kuutazama
Hii mechi ina msisimko mkubwa sana. Jana mechi ya Utopolo hadi dk 90 tuiishia kurasa 2 tu.Hii mechi haina kabisa msisimko. Nadhani Yanga ndiyo chanzo cha haya yote!
Inakuwaje timu inakuwa bingwa hata kabla ya mechi zote kuisha! Inaelekea kumaliza ligi, bila hata yakufungwa! Mechi lukuki ina clean sheet! Mambo gani haya!
Kwa hili naungana kabisa na msemaji wa simba, ndugu Ahmed Ali! Hii ligi yetu ni dhaifu kabisa! Yaani kila sehemu ni Yanga tu!