FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | Juni 23, 2022

Hii simba ilikuwaje ikazingua hatua za awali?
 
Hii si ndiyo ile timu ambayo ukijumlisha magoli ya washambuliaji wake wote 3 kwa msimu mzima, unapata idadi sawa na yale ya mshambuliaji mmoja tu wa Yanga; Fiston Mayele!

Au nimechanganya!!
Upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…