Singida Big Stars!! ππ Ila Moo bhana! Yaani anauza uza tu wachezaji. Halafu wakati huo huo anataka ubingwa.Nasikia Wawa ameuzwa
Hivi tukishinda Leo ndiyo tutakuwa tumepunguza point ngapi vileYaani kuna watu wapuuzi mno kwenye Taifa hili, na wanazidi kuwa wengi.
Eti kwani Simba anagombea nini ilhali Kombe lishachukuliwa tayari
Na jana Yanga alicheza aligombea nini ilhali Kombe ameshachukua..!
π€£π€£π€£π€£π€£Hivi tukishinda Leo ndiyo tutakuwa tumepunguza point ngapi vile
Wawa kweli mda wake msimbazi bora asepe kwa heshimaSingida Big Stars!! ππ Ila Moo bhana! Yaani anauza uza tu wachezaji. Halafu wakati huo huo anataka ubingwa.
raundi ya pili hii, sio preliminary πSimba inacheza ligi gani leo??
Hata Tuisila aliuzwa. Au miezi sita ya mkopo ilikuwa imeisha? π€£π€£π€£Singida Big Stars!! ππ Ila Moo bhana! Yaani anauza uza tu wachezaji. Halafu wakati huo huo anataka ubingwa.
Azam aboreshee camera msimu ujaooGoli la pili ni la mchongo. Mpira umeokolewa kwenye touch line.
Goli halali kabisa labda kama umesimuliwa.Simba ya mchongo wanazidi kumwagilia mioyo yao
Wewe utopolo ile ni clear goliGoli la pili ni la mchongo. Mpira umeokolewa kwenye touch line.
Mechi za awali club bingwaSimba inacheza ligi gani leo??
Hivi hata mechi kama hii bado inawaumiza mioyo? π€£Goli la pili ni la mchongo. Mpira umeokolewa kwenye touch line.