Tayari umeshamuiga mmeo Makinyo, eti payu payu[emoji23][emoji23]Wananchi sio watu wa Payu Payu siku zote,hata tulivyochukua ubingwa wala hakuna kelele mtaani na wala haturingi
kwa kushika namba 2 [emoji90][emoji90]Sisi tunawafikiria wakubwa wenzetu, wao wanatufikiria sisi..! Haiwezekani ubingwa tayari lakini hawana furaha.
Heshima ya soka nchini inaletwa na Simba SC.
Kagere, Mugalu na Bocco, kwa sasa ni mizigo tu kwenye timu! Mkiwaacha waendelee kuwepo kwenye timu, basi msitarajie maajabu msimu ujao.Dah ila kweli MK14 naye tumuage licha ya kuwa katufanyia mengi ila kwasasa tumuage tu
vinauzwa wapi hivyo viatu?Sakho na Kibudenga Wajitahidi leo wawazidi magoli Mayele na Mpole wapewe kiatu cha ufungaji bora
Siku zote watu wenye maneno mengi wanajulikana sifa zao zipoje.Kuna uzi wa timu fulani jana ulidoda nashangaa huu unatembea balàa.
Vipi kwanini Sakho na Kibu denis watapumzishwa lini? Msimu uliopita Simba alitangaza ubinga huku Mugalu na Bocco wakigombea ufungaji bora je ilitokea wakapumzishwa wote wawili kisa tu ubingwa umeshatangazwa?angalia simba sasa manula amepumzika ila nyie mnapambana kumchezesha mayele awe mfungaji bora, ni upumbavu.
mayele alitakiwa sasa awe kwao anakula good time.
wakubwa wenzenu wana makombeSisi tunawafikiria wakubwa wenzetu, wao wanatufikiria sisi..! Haiwezekani ubingwa tayari lakini hawana furaha.
Heshima ya soka nchini inaletwa na Simba SC.