FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | Juni 23, 2022

Umeandika vzr Sana hongera sijajtizama mpira I'll kwa andiko lako hili nikam Niko uwanjani
 
Umeandika vzr Sana hongera sijajtizama mpira I'll kwa andiko lako hili nikam Niko uwanjani
Asante sana kwa pongezi mkuu goroko77 kwa kufuatilia mpira kupitia kwenye hili bandiko.

Haya ndo mambo yetu kwa siku zote yaani..!
 
Makolo mjiulize swali moja walikuwa wapi siku zote hao makolo wawili,Kolobanda na Kolosakho?
 
Hizi mechi za kumwagilia moyo mpaka Chiko Ushindi nae anaonekana sio galasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…