FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Geita Gold | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Agosti 17, 2022

Mwanakulitafuta,mwanakulipata🤔
 
Moses phiri asipocheza na leo watakuwa wamezingua sana
 
Manula, Kapombe, Hussein, Henock, Ouattara, Akpan, Kanoute, Sakho, Chama, Dejan, Phiri
 
Matokeo yoyote yatakayetokea, Mimi nitaendelea kuwa mnyama mkali Simba.

Nguvu moja
Huku ni kujiandaa kisaikolojia..!!! Na hasa kama mkifungwa utajifanya , mpira una matokeo matatu.. Sare, Kushinda na kushindwa...!! Sasa sijui kwa nini wanaohisi watafungwa huwa mara zote wanaisemaga statement hiyo mapemaaaa..!!
 
Huku ni kujiandaa kisaikolojia..!!! Na hasa kama mkifungwa utajifanya , mpira una matokeo matatu.. Sare, Kushinda na kushindwa...!! Sasa sijui kwa nini wanaohisi watafungwa huwa mara zote wanaisemaga statement hiyo mapemaaaa..!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Khee!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] utamfunga mdomo nani tena wakati ushakalia SINDANO??
Jamani wasilazimishe furaha kufungwa na yanga inawauma kama wamepigwa sarmat 2
 
Nitakubali matokeo ya mpira lakini sina lawama na Kocha wala Wachezaji.. hakuna timu ambayo haifungwi, au haishindi, au haitoi sare.
Mshauri boss Kizibo asitoe tena ahadi wananchi watamtoa roho mkifungwa
 
Nitakubali matokeo ya mpira lakini sina lawama na Kocha wala Wachezaji.. hakuna timu ambayo haifungwi, au haishindi, au haitoi sare.
Bado ni kujiandaa kisaikolojia tu. Umesahau kuwa Yanga msimu uliopita wa ligi ya NBC 2021/2022 haikufungwa hata mchezo mmoja..!!?? USIJIZIME DATA..!!
 
Hao watoto wa geita wamefanya usajili wa kitoto sana ...imagine unamuachaje yule kipa wao sasa??wakifa nyingi wastafte mchawi nani?
 
Bado ni kujiandaa kisaikolojia tu. Umesahau kuwa Yanga msimu uliopita wa ligi ya NBC 2021/2022 haikufungwa hata mchezo mmoja..!!?? USIJIZIME DATA..!!
Hayo ya kutofungwa kwa msimu mzima wa Ligi yalishafanywa na Simba SC na Azam FC

Kutofungwa au kushinda ama kutoa sare nimemaanisha kwa michuano yote ambayo Klabu inashiriki..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…