FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Geita Gold | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Agosti 17, 2022

Refa atawabeba leo mikia...hivyo basi mtashinda. Maana saikolojia yenu imevurugwa kabisa.
Hamna kubebwa ataweza kubeba mnyama mtoa roho? Labda chura ndo anabebeka hahaaaa.
 
Ahahahahahahaaa unahaha sana kiongozi..!! Nimekuambia ligi ya NBC Tanzania ndo ilikuwa reference Yangu..
Wala si kuhaha mkuu, Niliposema vile nilikuwa nakusudia msimu mzima kwa michuano yote

Kama Ligi Kuu ni sawa nakubali na hilo lipo wazi, ndo nikasema Simba na Azam FC wamefanya.[emoji16]
 
Siku zinaenda kasi sana sisi Simba ndo wakuiwaza Geita
 
Kosi lipo vizuri sana leo mtu anakula mkono na kuendelea
 
Kikos vip bado hawajatoa tu?? Mwenye nacho atupie bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…