FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Mbeya City | Uwanja wa Mkapa | Juni 16, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Mbeya City | Uwanja wa Mkapa | Juni 16, 2022

Miaka ile miaka gani?

Hivi mliweza kwa nguvu zenu au kuna visaidizi mlikuwa mkivitumia kupoza makali?
Miaka Gani?!! Labda Kama Ulianza Kufuatilia Mpira Wa Bongo 2018 [emoji23], Na Hatukuweza Kwa Nguvu Zetu Tulitumia Nguvu Zenu [emoji23]
 
Aisee kukosa ubingwa ndio kunatesa hivi?

Nyie ndugu zetu mliwezaje kuvumilia miaka minne yote kwa maumivu haya?

Nyie mliwezaje kuvumilia haya kipindi YANGA SC Anatwaa taji mara 27 zote?
 
Miaka Gani?!! Labda Kama Ulianza Kufuatilia Mpira Wa Bongo 2018 [emoji23], Na Hatukuweza Kwa Nguvu Zetu Tulitumia Nguvu Zenu [emoji23]
Nimekuuliza, basi angalau stick kwenye swali kuhusu mipasho najua hiyo ni desturi yenu
 
Nyie mliwezaje kuvumilia haya kipindi YANGA SC Anatwaa taji mara 27 zote?
Mara 27 mwaka gani na mwaka gani?

Namba bado ni tatizo kwenu

1655396704884.png
 
Simba wanapata Penalty baada ya golikipa wa City kumwangusha Sakho eneo la hatari.

Sakhooo Goooooooooooaaal goal

Simba SC 1-0 Mbeya City
 
Mpira ni mapumziko Uwanja wa Mkapa | Simba SC 1-0 Mbeya City
 
Sakho Goooooooooooooaaal gooal

Sakho anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi ndefu kutoka kwa Mzamiru

Simba SC 2-0 Mbeya City FC
 
Back
Top Bottom