FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

Hivi Makocha huwa wanapata muda wa kuangalia mechi za nyuma? Hili kosa lilifanywa na Zolan Maki Simba ilipocheza na Yanga. Linarudiwa tena na huyu Mbrazil. Mechi ya mwisho ya Simba aliyoshinda 7 ilifaa kuwa mfano mzuri wa best combination ya Simba. Ila daah, hawa makocha sjui wana ukilaza flani vile kichwani!?
Hoja nzito sana.. Ngoja Tusubiri Kuona
 
Huyu kocha akifanya vibaya binafsi nita confirm pale kuna uchawi na hujuma. Tumepata kocha aliyefanikiwa kila alipofundisha! Kwanini afeli Simba? Tuache ushabiki tuamini benchi la ufundi la wachezaji. Game haijaisha hii

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kocha alitakiwa aje na wasaidizi wake ili asihujumiwe.
Mgunda hakuichukulia sawa kuletewa kocha Mkuu, ukifatilia interview yake utagundua hilo
 
viongozi ndio tatzo, sema hapa tutalaumiana sisi, makocha, wachezaji lakini mzizi wa matatzo ni viongozi huko juu....lakini leo tutashinda hii match, tusubri
Viongozi wamefanyaje?
 
Ajabu sana, Mesi mwenyewe anatolewa! Siku hizi mpira wa kisasa ni mifumo sio mtu! Mfano tunao hapa hapa kwa Nabi!

Utashangaa ikitokea tumepoteza wimbo utakuwa chama!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huyu kocha ndicho anachofanya, ile Vipers yake licha ya kumuuza Manzoki bado iliendelea kuwa moto wa kuotea mbali, utopolo ni mashahidi wa hili...
 
Kocha alitakiwa aje na wasaidizi wake ili asihujumiwe.
Mgunda hakuichukulia sawa kuletewa kocha Mkuu, ukifatilia interview yake utagundua hilo
Kwahyo inawezekana mgunda kamwambia awatoe Chama na Bocco ili tupigwe??
 
Back
Top Bottom