Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #281
Hoja nzito sana.. Ngoja Tusubiri KuonaHivi Makocha huwa wanapata muda wa kuangalia mechi za nyuma? Hili kosa lilifanywa na Zolan Maki Simba ilipocheza na Yanga. Linarudiwa tena na huyu Mbrazil. Mechi ya mwisho ya Simba aliyoshinda 7 ilifaa kuwa mfano mzuri wa best combination ya Simba. Ila daah, hawa makocha sjui wana ukilaza flani vile kichwani!?