Hoja nzito sana.. Ngoja Tusubiri KuonaHivi Makocha huwa wanapata muda wa kuangalia mechi za nyuma? Hili kosa lilifanywa na Zolan Maki Simba ilipocheza na Yanga. Linarudiwa tena na huyu Mbrazil. Mechi ya mwisho ya Simba aliyoshinda 7 ilifaa kuwa mfano mzuri wa best combination ya Simba. Ila daah, hawa makocha sjui wana ukilaza flani vile kichwani!?
Yanga inacheza bila wachezaji senior mfn ,azzik , Morrison,feitoto,na bangala na Bado Ni Moto juu ya motoNafikiri hii sub itatupa majibu kuwa timu inahitaji kujifunza kucheza bila chama.
🤣🤣🤣, ila kocha kazi ake kubwa nikumuelewa mchazaji, mm Sion la ajabu.Imagine Kocha amtoa Mayele na kumungiza yule floop wa New Castle
Sasa hizo kelele zinatoka wapi kama hayupo?Sisi sio utopolo, hakuna mungu mtu Simba, hizi kelele zinashangaza sana..
Hayo mabadiliko maana yake mfumo unabadilika! Tunashinda hii game.Nafikiri hii sub itatupa majibu kuwa timu inahitaji kujifunza kucheza bila chama.
Nami nilikua mfuasi wa Mgunda taleast angemaliza msimuNiliandika humu nikatukanwa
Nakubalinan na ninyi mgunda angepewa amalize msimu huu na cafcclNami nilikua mfuasi wa Mgunda taleast angemaliza msimu
Forget about Mayele hapa, kocha ana mipango yake kichwani, sioni tatizo lolote hapo...Imagine Kocha amtoa Mayele na kumungiza yule floop wa New Castle
Kocha alitakiwa aje na wasaidizi wake ili asihujumiwe.Huyu kocha akifanya vibaya binafsi nita confirm pale kuna uchawi na hujuma. Tumepata kocha aliyefanikiwa kila alipofundisha! Kwanini afeli Simba? Tuache ushabiki tuamini benchi la ufundi la wachezaji. Game haijaisha hii
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuuNakubalinan na ninyi mgunda angepewa amalize msimu huu na cafccl
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Viongozi wamefanyaje?viongozi ndio tatzo, sema hapa tutalaumiana sisi, makocha, wachezaji lakini mzizi wa matatzo ni viongozi huko juu....lakini leo tutashinda hii match, tusubri
Huyu kocha ndicho anachofanya, ile Vipers yake licha ya kumuuza Manzoki bado iliendelea kuwa moto wa kuotea mbali, utopolo ni mashahidi wa hili...Ajabu sana, Mesi mwenyewe anatolewa! Siku hizi mpira wa kisasa ni mifumo sio mtu! Mfano tunao hapa hapa kwa Nabi!
Utashangaa ikitokea tumepoteza wimbo utakuwa chama!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwahyo inawezekana mgunda kamwambia awatoe Chama na Bocco ili tupigwe??Kocha alitakiwa aje na wasaidizi wake ili asihujumiwe.
Mgunda hakuichukulia sawa kuletewa kocha Mkuu, ukifatilia interview yake utagundua hilo
Sawa MgundaHuyu mzungu atatusaidia kuwaamini makocha wazawa. Maana sidhani Kama atamaliza mechi nne.
Hajafikia kuaminiwa kuifikisha timu federation so nafasi yake ilikuwa hapo alipoishia.Nakubalinan na ninyi mgunda angepewa amalize msimu huu na cafccl
Duuuh mbna hatar sasaKwahyo inawezekana mgunda kamwambia awatoe Chama na Bocco ili tupigwe??
Simba akishinda snow itaanguka darHayo mabadiliko maana yake mfumo unabadilika! Tunashinda hii game.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣😲Simba akishinda snow itaanguka dar