Ww endelea kuabudu hizo goli za rasta wenu...uzuri wa kilele umuache wa nyuma yako point nyingi..goli nyingii...kilele kinakua mwaka mwake...kwa sasa mna hofu sanaWakati hajaumia alikuwa anaongoza ufungaji bora?
Reducir entonces ra iraπ€£Te lo dije antes de que estΓ©s loco ππππππ
Kama gap la point 6 ni chache mbona mpaka leo hamjazifikia?Ww endelea kuabudu hizo goli za rasta wenu...uzuri wa kilele umuache wa nyuma yako point nyingi..goli nyingii...kilele kinakua mwaka mwake...kwa sasa mna hofu sana
Lugha gani hii wapendwaReducir entonces ra iraπ€£
Ni mambo madogo madogo tuu yametokea..inaitwa game of chanceKama gap la point 6 ni chache mbona mpaka leo hamjazifikia?
Nakukumbusha umbumbumbu wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We bwege unasemaje?
Embu tuache tunene kwa lugha mkuu, au hujafurahia ushindi?Lugha gani hii wapendwa
Basi sawaaa...endeleeni kunenaEmbu tuache tunene kwa lugha mkuu, au hujafurahia ushindi?
No tengo iraReducir entonces ra iraπ€£
Ewaaaah!!Basi sawaaa...endeleeni kunena
Unatupigaaaa mtani hahahahahhNo tengo ira
Mtani tunateta kidogo na mtani mwingine huyo. Hongereni but nahesabu ni draw penalt ya kimchongo sanaUnatupigaaaa mtani hahahahahh
Nawaacha muenjoyyy
Samahani mkuu nimechanganyikiwa na aina ya mpira waliocheza simba huku nawaza game za Azam na Singida Big stars.Muwe mnaandika kwa lugha zenu tu, hiyo lugha ya wakoloni hamuwezi [emoji23][emoji23]
Mimi nakubali magoli ni yale ya Saidoo na Sakho hyo penalty wape mbeya city..Mtani tunateta kidogo na mtani mwingine huyo. Hongereni but nahesabu ni draw penalt ya kimchongo sana
Zile goli Saba,tano ndio droo kwa wewe?Tatizo mlizoea draw za Mgunda...
Seamos felices, entonces juntos el club deportivo Simba hemos ganado.No tengo ira
Ok bienYo hablo ese idioma
No me gusta tu equipo, y me voy a dormir ahora ππππSeamos felices, entonces juntos el club deportivo Simba hemos ganado.