Niko hapa mkuu naitwa sibanduki mpaka tumbandue mtu hamsa kama jadi yetuBado muda kadhaa tushuhudie soka safi la Pira Dubai kutoka kwa Mnyama Mkali Mwituni [emoji881] Mkuu Mshana Jr View attachment 2486350
The monster
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji56]
[emoji23]Miguo miyeusi kama 'filimasond"
wazururaji leo wanatoka droo/sare.
Tutavuna hapohapo kwa Mkapa. Na si kingine bali ni point tatu au moja. Wote tusema AMINALeo mtaenda kuvuna bila kukomaa hahahaa
UshindwweeTutavuna hapohapo kwa Mkapa. Na si kingine bali ni point tatu au moja. Wote tusema AMINA
Timu ya chama cha kijani...timu ya maua ua na nyuki timu alizeti..ila mnang'aaaga mtani hata ukiwa umejificha kwny kundi ataonekana tuu njanonjanoHiyo siyo timu, mashetani wekundu tu sijui waganga wa mashetani.
Timu ina minguo rangi nyekundu!!!
Timu ni moja tu Afrika Mashariki na kati, nayo ni Young Africans.
Hawapo wageni tulijua tutaona maufundi yao leo...[emoji186]Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Mbeya CityView attachment 2486393
Mkuu uungwana ni kuitana pembeni na kuongea. Sisi ni watu wazima.Kunanini huko jamaniii π π π
Aaamen,[emoji818][emoji817][emoji1545]Tutavuna hapohapo kwa Mkapa. Na si kingine bali ni point tatu au moja. Wote tusema AMINA
Kikosi cha ushindi hiki[emoji186]Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Mbeya CityView attachment 2486393
Kuna tofauti kubwa kati ya SIMBA na hao wengineKuna watu wakianzisha Uzi wao wa live hawachangii hadi wapate goli au mpira uishe..Simba nguvu Moja