FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

The monster
_.gif
 
Wageni Mbeya City wamewahi. Kikosi cha Mbeya City kinachoanza dhidi ya Simba SC
Screenshot_20230118-172457~3.jpg
 
Hiyo siyo timu, mashetani wekundu tu sijui waganga wa mashetani.
Timu ina minguo rangi nyekundu!!!
Timu ni moja tu Afrika Mashariki na kati, nayo ni Young Africans.
Timu ya chama cha kijani...timu ya maua ua na nyuki timu alizeti..ila mnang'aaaga mtani hata ukiwa umejificha kwny kundi ataonekana tuu njanonjano
 
Back
Top Bottom