mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
[emoji116]Acha hasira topolo ww utakufa kwa presha sasa kama unaongoza unahasira za nini kuna mtu kakubishia?.
Hahahahah sawaaa[emoji116]View attachment 2429151
Na mimi nichukue nafasi hii kukukumbusha kuwa huu ni mzunguko wa kwanza bado wa pili kumalizia msimu. Lolote laweza tokeaNawakumbusha tu kuwa pamoja na kucheza mechi mbili zaidi, Yanga bado anawaongoza kwenye msimamo wa ligi na Mayele anawaongoza kwenye chati ya ufungaji magoli
Mmerudi kwenye ligi ya kiatu kombe msha nyoosha mikonoYule hanaga shida ya kiatu
Ye akipewa ng'ombe tu inatosha
Lolote linaweza kutokea mkuu wala sijapinga.. ila ukiangalia Kuna timu imecheza mechi 49 za ligi bila kupoteza hapo na ndio wanaongoza ligi huku wakiwa na mechi pungufu walizocheza..Na mimi nichukue nafasi hii kukukumbusha kuwa huu ni mzunguko wa kwanza bado wa pili kumalizia msimu. Lolote laweza tokea
Hao ndio mbumbumbu aliyewaita ndugu Aden Rage..Mmerudi kwenye ligi ya kiatu kombe msha nyoosha mikono
Nyuma yenu kuna Azam anahema vizuriTunapumua nyuma ya mtu
Uzuri nyie ni wasahaurifu hapo msha sahau kila kituMimi nasema ubingwa msimu huu ni wa Simba
Police wanaupiga kama france
Wanaupiga kama France halafu wanachomesha tena?Beki wa police amechomesha.. amewazawadia Simba goli
Acha yafungwe haya malevi yameshindwa hata kukomalia draw kwa timu dhaifu hiiBeki wa police amechomesha.. amewazawadia Simba goli
ndo mechi zake, huwez mwona anatamba mechi kubwa kama ya yanga
kati ya mechi 7+ chama alionekana mechi 1 tu. huyu hizi ndo mechi zake
Mmeanza kubwata eti, mmeanza kulinganisha mlima na kichuguu kwa mara nyingine eti baada ya kumuangukia kibonde anayevuta mkia, Rage apewe heshima yake akukosea kuwaita mbumbumbu,Yule muache atangulie na baskeli ya mabua
katika hizo za ligi zipo pia za Zalan ya Sudan ya KusiniLolote linaweza kutokea mkuu wala sijapinga.. ila ukiangalia Kuna timu imecheza mechi 49 za ligi bila kupoteza hapo na ndio wanaongoza ligi huku wakiwa na mechi pungufu walizocheza..
Mpira ni takwimu na takwimu zinawabeba.