Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #161
Jana Uzi wa Yanga Vs Mbeya City ulifikia #124 Leo Polisi Tanzania Vs Simba SC umefikia #160 na bado unaendeleaHuu Uzi ulikua umepoa sana.. bila sisi utopolo kuuchangamsha kidogo sijui ingekuwaje..
Sajilini timu nzuri ili angalau msiwe mnakimbia mechi zenu
Inawezakana MTU kulisha mbuzi wa mwenzake ilhali wa kwake ana njaa..!
Kihesabu tu hata kama wenye akili kule Utopolo ni wa wawili, basi hata na hili nalo mnashindwa kung'amua.?! Tukiwaambia kuwa Simba [emoji881] ndo Wataalamu wa mambo haya muwe mnaelewa yaani..!
Kalpana, Scars, Pettymagambo