Kwa kweli hata wenyewe tu watakuwa hawakumbuki. Kuongoza Ligi siyo mchezo!!Hivi ni miezi mingapi imepita mpaka sasa tangu makolo waongoze ligi?
Wengi watu wazima wana kazi za kufanya kulisha familiaWananchi [emoji617] huwa wanafeli hapo tu. Kwenye mambo kama haya Simba mmetuzidi, yaani hata kuanzisha hizi nyuzi za live updates wakati mwingine Huwa mnatuanzishia kutokana na ubaridi wetu[emoji23][emoji23]
Mwendo wa cleansheet kaa utizame mpira hapo.Tulia ww uto
Unakuta hata hatazami, kazi kubwekabweka tu.Mwendo wa cleansheet kaa utizame mpira hapo.
Waendelee kufundisha na namna ya kuchomoa magoli mawiliNaona Yanga wanafundishwa mpira sasa
MAKOLO hayanaga akiliAlafu kuna mbuzi ikasema Aziz Ki tumepigwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu unakuta mtu kama huyo ni baba kabisa wa familia.
Mpaka sasa walimu 0 wanafunzi 2Naona Yanga wanafundishwa mpira sasa
Kipindi kile yanga asipocheza kiporo chake walikuwa wanafurahia sana kukaa kileleni kwa masaa 24 kama status za WhatsappKwa kweli hata wenyewe tu watakuwa hawakumbuki. Kuongoza Ligi siyo mchezo!!
Wakimaliza kufundisha mpira wayarudishe na magoli.Naona Yanga wanafundishwa mpira sasa