mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
- Thread starter
- #81
Mi Nazani washabiki wengi wa Simba ni waoga hautowaona kwenye nyuzi za Yanga [emoji617] Kwa sababu wanajua Yanga lazima washinde. Tofauti na sisi wa Yanga ambao tunavamia nyuzi zao mwanzo mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]