FT: Ligi ya NBC: KMC 0 vs 1 Yanga S.C: Uwanja wa Benjamin Mkapa, 22/02/2023

Ushetani umeanza lini?
Mimi mbona ni kawaida yangu?? Ila ww sio kawaida yako yani hupendezi kabisa kuwa na roho ngumu kwetu sisi watani zako.kwani huoni kama mm ushetani unanipendeza? πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Hata hipendezeiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Najiuliza, kocha ws makipa wa KMC ni nani? Siamini kama ni Juma Kaseja.
Mechi hii kipa alikuwa anawazawadia Yanga bao mbili za uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…