Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua na faida ya goli la ugeniniKivipi mkuu!??
Young Africans [emoji2772][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aliefungisha ni Mvala,Mudau namba mbili ya uhakika yupo kikosi cha leo Peter Shalulile anaweza kuanza au Ribero yule Mbrazil walikua majeruhi mechi zote wamecheza na Zwane kama 9 feki...Mudau mutu ya mpira atakuwepo😃😃😃
Japo kwenye CAF alijichoma tukatoka ila jamaa ni moto
Ni bao 1 tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si rahisi WYDAD kuruhusu goli mbili..
Match ikiisha hivi, sundowns 1 - 0 Wydad.Kivipi mkuu!??
Muarabu mzuri sn kwenye mtoano sn kwakua anacheza kimbinu zaidi kuliko kuonyesha ufundiWYDAD bingwa..
Mamelody àkifunga 1 tu anakuwa bingwaSi rahisi WYDAD kuruhusu goli mbili..
Sio jambo rahisi hiloWydad apigwe 4
ngoja niyapuyange nikikosea utanirekebisha, mamelody alipigwa 2- 1 ugenn hvyo ana faida ya goli la ugenini akishinda mamelody 1 bila nyumbani aggr itasomeka 2~2 ila mamelody atakuwa na faida ya lile goli alilopata kule jijini casabrancaKivipi mkuu!??
Ebu malizia basi ...The Young AfricanHallah 4 Mamelodi Sundowns
African Giants.
The Brazilians.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]