Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #161
FT' Mamelodi 1-0 Simba Queens
Mabinti wamepambana sana, tukutane mshindi wa 3
Mabinti wamepambana sana, tukutane mshindi wa 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sentence imesomekaje tena?Hello... eti unasema wapi????
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeziona 2 za SIMBA[emoji7]View attachment 2411524
Na ndivyo imekuaUkiina wanakosakosa sana ujue wamekaribia kutolewa
Ndo mna wamebebwa leo.Mmiliki wa Mamelodi Sundowns ndio Rais wa CAF
Aibu ya nn?Huoni aibu
Eti dada zenu wametolewa... Next ni... usiwaambie wenzako lakini... 😂😂😂😂😂Sentence imesomekaje tena?
Next si ninyiEti dada zenu wametolewa... Next ni... usiwaambie wenzako lakini... 😂😂😂😂😂
Ahueni wamejitahidi.FULL TIME
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu
View attachment 2411708
78' Simba wapo nyuma kwa goli moja
60' Ngoma bado ngumu
Kipindi cha pili kimeanza
MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza
40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu
30' Simba Queens wanaonesha kuwa imara
Mchezo unaendelea
========
Leo majira ya saa 1:00 Usiku, pale nchini Morocco kutapigwa mchezo baina ya Mamelodi Sundowns Vs Simba Queens ya Tanzania.
Ni mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa kwa upande wa wanawake.
Ikumbukwe, Mamelodi ndiyo mabingwa watetezi wa michuano hii, hivyo Simba Queens leo atakuwa na kibarua kizito sana.
Hivyo ili uwe bingwa lazima upambane vizuri na kuwatoa mabingwa. Kila la heri kwa Simba Queens, hakuna kinachoshindikana na hata mkitolewa hatuna tunachowadai.
Nguvu Moja 🦁🦁🦁
Mnajijua ambao mnaenda kila mwaka na hamchukui kombe... Next please.... 👉Next si ninyi
🏃🏃 Pambaneni mna miaka mitatu hamjashinda mechi nje ya bongoMnajijua ambao mnaenda kila mwaka na hamchukui kombe... Next please.... 👉
Ukizingatia mnashinda game yenu ya TunisiaAhueni wamejitahidi.
Na pia imesaidia hali ya hewa kesho kuwa ya utulivu kwa kiasi chake.
Yanga ikishinda leo siingii jf wikiUkizingatia mnashinda game yenu ya Tunisia
Mataqo yakoSimba Queens is greater than Young Africans[emoji3577]
OndokaYanga ikishinda leo siingii jf wiki
Njoo ulambe lolpopVp Mikia unaitikisa vizuri?