FT: Man United 0 - 1 Bayern | UEFA CL | Old Trafford | 12.12.2023

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Haya kwa wale wapenzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya leo kwa upekee kabisa tunawaletea kitakachojiri live wakati wa mchezo huo.

Mchezo huu wa mwisho kabisa wa hatua ya Makundi unabeba hisia nyingi za wapenzi wa soka kutokana na uhitaji wa ushindi kwa Timu ya Man United ili aendelee kubaki kwenye michuano ya Ulaya kwa msimu huu.

Je Man United watafua dafu mbele ya Bayern


Kikosi cha Man United kinachoanza

Kikosi cha Bayern kinachoanza


 
😅😅Apigwe tu Bayern ana maumivu ya goli 5 kwa moja ,Man utd nae kala 3 nunge.
 
umuhimu wa mechi hii upo zaidi kwa utd ;ushindi ni lazima kwao.
 
Nyumbu anakufa leo,nmekaa pale[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…