Zanzibar wako mbali wakikomaa watakua juuu...misaada inaenda huko mingi sanaMatch nzuri sana Yanga na Simba zinashindwa wapi team ndogo ya mlandege wanavalishwa na Nike kwenye hii game tena nimefatilia jersey zao naona wameshawahi valishwa na Adidas View attachment 2866644
kuwa kifikra kampuni moja ikivalisha timu zote kampuni nyengine zitavalisha nini..? ushindani utakuwa kivipi..?Match nzuri sana Yanga na Simba zinashindwa wapi team ndogo ya mlandege wanavalishwa na Nike kwenye hii game tena nimefatilia jersey zao naona wameshawahi valishwa na Adidas View attachment 2866644
Easy!kuwa kifikra kampuni moja ikivalisha timu zote kampuni nyengine zitavalisha nini..? ushindani utakuwa kivipi..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi dakika hizi Utopolo ilishapewa za uso mbili.
Wanadhihirisha"Uzalendo"Hizi offside za marefa wa zanzibar kama vile zipo tofauti.
0-0 badoJamani vipi matokeo huko yapoje?
Ni dk ya ngapi mkuu?0-0 bado
Umeisha bila bila....Sasa ni mikwaju ya penatiNi dk ya ngapi mkuu?