Nimeshangaa Matangazo kukatishwa.Naona azam wamekatisha baada ya lawama kutoka live kwa marefa. Azam ni wapuuzi tu.
Elezea unachojuaUnauhakika kuwa wanabalishwa na Nike?
Au kwakua umeona wanavaa jezi zenye nembo ya Nike ndio umefikiria hivyo?
Inasikitisha sana MkuuHawa wajinga ndio wanaoharibu michezo kwa mambo ya ubaguzi kisa unyumbani
Wakati Kona inapigwa Kuna APR mmoja alikuwa offside akawa anaivunja anarudi on side,Kona ilivyopigwa hyo mchezaji aliruka amoja na Shiboob ingawa hakucheza mpira lakin aliingilia mchezoHizi offside za marefa wa zanzibar kama vile zipo tofauti au mm ndo ufahamu mdogo kuhusu offside.
Kibendera ananyanyua hata kabla mpira haujaelekezwa kwa anayeonekana yupo offside.
Yaani mpira upo katikati kwenye move kibendera kanyanyua bendera kuna mtu kaotea kabla hata huyo mtu hajapigiwa mpira.
Inaleta hasira sana APR Hawakustahili kutendewa hivyo kwa maana wameleta ushindani sana na kunogesha hilo bonanzaAPR wameonewa sana kama Singida walivyoonewa final ya mwaka jana.
Safi sana we umeangalia mpira ,wengi hawajaona au kuzingatia hili kosa ila line alikuwa sahihi kabisa sababu jamaa hadi karuka mbele ShiboubWakati Kona inapigwa Kuna APR mmoja alikuwa offside akawa anaivunja anarudi on side,Kona ilivyopigwa hyo mchezaji aliruka amoja na Shiboob ingawa hakucheza mpira lakin aliingilia mchezo
Wana uzalendo wa kitoto sana, yaani wajinga wanabebwa kipuuzi hawataki kuambiwa.Nimeshangaa Matangazo kukatishwa.
Na kesho Singida wakiifunga Simba hapo tayari kombe ni kwa mlandege tena, kwa Simba nahisi wataogopa kuonyesha upendeleo wao kwa mlandege kwa sababu mchezo utakuwa unafatiliwa na wengi.Inaleta hasira sana APR Hawakustahili kutendewa hivyo kwa maana wameleta ushindani sana na kunogesha hilo bonanza
Aliyekuambia mpira wa kona una offside ni nani?.Wakati Kona inapigwa Kuna APR mmoja alikuwa offside akawa anaivunja anarudi on side,Kona ilivyopigwa hyo mchezaji aliruka amoja na Shiboob ingawa hakucheza mpira lakin aliingilia mchezo
Wachezaji kuvaa jezi zenye nembo ya Adidas au Nike haina maana timu imeingia ubia na hixo kampuni.Elezea unachojua
Na hawatakubalii kuja kamwee.Kiujumla msimu ujao timu zikialikwa zikatae kuja kama mambo yenyewe ndio haya ya Leo
Akipita Singida, bas Kombe anabaki nalo Mlandege,Na kesho Singida wakiifunga Simba hapo tayari kombe ni kwa mlandege tena, kwa Simba nahisi wataogopa kuonyesha upendeleo wao kwa mlandege kwa sababu mchezo utakuwa unafatiliwa na wengi.
Huu ndo ukweliAkipita Singida, bas Kombe anabaki nalo Mlandege,
Atahujumiwa wazi wazi.
Haikuwa direct Kona kick ila ilianzishwa kwa mtu ndani kidogo ndo ikamwagwa majaro..nafikiri amechanganya kiongozi...Aliyekuambia mpira wa kona una offside ni nani?.
Mpira wa kurusha au wa kona hauna offside
Safi umefafanua vemaWachezaji kuvaa jezi zenye nembo ya Adidas au Nike haina maana timu imeingia ubia na hixo kampuni.
Hata wachezaji wa Yanga viatu vyao vina hizo nembo, juzi Saido alivaa kitambaa cha captain chenye nembo ya Puma lakini haina maana kuwa Simba inavalishwa na Puma.
Ni kwasababu ya hizo kampuni ku dominate karibia kila kitu kuhusu sports wear
Uko sahihi na yule jamaa aliyetoka offside na kuingilia mchezo ndie aliharibuHaikuwa direct Kona kick ila ilianzishwa kwa mtu ndani kidogo ndo ikamwagwa majaro..nafikiri amechanganya kiongozi...