Kimetokea nini kwani mkuu?Tutaonana msimu ujao...
Jipeni moyo anawaitaπππTunajiaandaa na Tarehe 20 mkuu Mechi ya Utomasandawana
Imekula kwetu!!Unasemaa
Sikilizieni utamuπTumepigwa paipu
Kenge mwenyewe...unaumwa nini? Chura mwenye mayai weeKenge nyie. Kwa kheri...!
Ndio. Shuguli ishaisha.Duh Kwenye penalty au
Wekundu wa msimbazi wanapashaKenge mwenyewe...unaumwa nini? Chura mwenye mayai wee
Mashujaa wamepita kwa mikwaju ya Penati Ubuntu BothoLinajadiliwa muda si mrf mtapewa majibu...
Kwani moderator naye alikuwa anacheza?π€£π€£Nimegundua MODERATOR WA LEO NI YANGA..
MAANA UZI ALIUONDOA LIVE ILA KAUWEKA LIVE KWA SABABU YA KUPIGA VIJEMBE π π π
NIMEKUSHTUKIA moderator Wewe ni Utomasandawana
Ubuntu Botho mmetolewaHuyo kipa nae anadka upande huo huo hakuona kuwa wameshamchora?