FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

Dk ya 5 Simba huwa wanatoa utelezi pyeeeew

Aly Ahly dk 5
Mashujaa dk 5
.... Kipele Cha Simba kipo dk ya 5 na trh 20 tutakikunia dk hizihizi[emoji28][emoji1787][emoji118]
Musonda pia aliwagonga dakika hizo hizo
 
Reactions: Exy
Yanga Tunamkanda na Azam anakandwa pia na Tunachukua Kombe..
Na hatutafuti ushindi wa Pili
 
Ila sio mbaya mnatuzo wa mashabiki bora, whatsapp channel nyie ndio wa kwanza plus kile kibegi.

Mlijificha kwenye kichaka za Mamelod, leo hamna kichaka cha kujificha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…