FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

Mazuzu fc 🤣... Kisauti kesho.... Atakuja na mmuombe msamaha Fred .
Mazuzu fc akili mbili...sasa si mmesema simba mbovu mbona kama mnaumia tena..sasa mlitegemea matokeo gani..
Acha chuki kwa mwanaume mwenzio yy kazi yake ni hicho ni ww kumsikiliza u kum ignore..yy sio benchi la ufundi..
 
Nyenyeeee yanga wamepewa penalty 5 wameshindwa wenyewe.... Pyeeee.
Walijua kupiga penati ni jambo jepesi, walimsimanga Aziz Ki kwa ile penati yake. Sasa waone Yanga imepigiana penati na wachezaji bora kabisa wa Africa wanaochezea hadi timu za taifa akiongozwa na kipa anayeogopwa Africa kwa kuziona penati. Ila wao leo kimewakuta kwa Mashujaa na kuaga mashindano ya ndani.
 
  • Thanks
Reactions: Exy
Dk ya 5 Simba huwa wanatoa utelezi pyeeeew

Aly Ahly dk 5
Mashujaa dk 5
.... Kipele Cha Simba kipo dk ya 5 na trh 20 tutakikunia dk hizihizi😅🤣👈
 
Mazuzu fc akili mbili...sasa si mmesema simba mbovu mbona kama mnaumia tena..sasa mlitegemea matokeo gani..
Acha chuki kwa mwanaume mwenzio yy kazi yake ni hicho ni ww kumsikiliza u kum ignore..yy sio benchi la ufundi..
Haya mafokofoko peleka zuzu fc... Kumbe yule ni mwanaume?. Asee wanaume wa thimba....
 
Back
Top Bottom