Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wamepigwa kweliiiutashangaa kolozidad kapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepigwa kweliiiutashangaa kolozidad kapigwa
Mangungu katolewa kwa penalty.Dakika ya ngapi huko mbona uzi unasoma live
Polee Sana mtani wanguKila la heri mnyama...tupo pamoja mpaka utuue...
Ipo Nyingine Tena Admin Alitupia Kabla Ya Hiyo😂Didication kwa dalali TRY-AGAIN.
Na comedy Ahmed allyTatizo sio Try again ni nyie mashabiki mnapumbazwa na vitu vidogo
😁🤣😂Nimeumia sana
Mazuzu fc akili mbili...sasa si mmesema simba mbovu mbona kama mnaumia tena..sasa mlitegemea matokeo gani..Mazuzu fc 🤣... Kisauti kesho.... Atakuja na mmuombe msamaha Fred .
Hata Wangepewa Wasingeweza😂😂Wasiende penati, wapewe tu huo ushindi 😅
Hamia Mamelodi huko utateseka sanaSasa mbona unaniambia hasira ya nini kwa mtu aliniita kenge? Ndo ww nakuuliza au ww kenge?
Walijua kupiga penati ni jambo jepesi, walimsimanga Aziz Ki kwa ile penati yake. Sasa waone Yanga imepigiana penati na wachezaji bora kabisa wa Africa wanaochezea hadi timu za taifa akiongozwa na kipa anayeogopwa Africa kwa kuziona penati. Ila wao leo kimewakuta kwa Mashujaa na kuaga mashindano ya ndani.Nyenyeeee yanga wamepewa penalty 5 wameshindwa wenyewe.... Pyeeee.
Mimi Nilikuwa Naona Kolouzidad Ndio Wanapoteza MudaKwahyo hujamuamini uto mwenzio..ni mashujaa ndo walikua wanapoteza muda..
Yani mm kwakweli nimeacha kuumia sitaki maumivu yanitese kabisa..ngoja tuone hali itakuwaje huko usimbani...Polee Sana mtani wangu
Nipo huko nina uraia pacha...Hamia Mamelodi huko utateseka sana
🤣😁😁😁Yani mm kwakweli nimeacha kuumia sitaki maumivu yanitese kabisa..ngoja tuone hali itakuwaje huko usimbani...
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 acha tuu la mama....🤣🤣🤣🤣🤣 ila umenichekesha
Haya mafokofoko peleka zuzu fc... Kumbe yule ni mwanaume?. Asee wanaume wa thimba....Mazuzu fc akili mbili...sasa si mmesema simba mbovu mbona kama mnaumia tena..sasa mlitegemea matokeo gani..
Acha chuki kwa mwanaume mwenzio yy kazi yake ni hicho ni ww kumsikiliza u kum ignore..yy sio benchi la ufundi..
Unakaa kimya Try-Again na Mangungu wanazidi kumpiga tu Mo.Yani mm kwakweli nimeacha kuumia sitaki maumivu yanitese kabisa..ngoja tuone hali itakuwaje huko usimbani...