FT: Mbeya Kwanza 0-2 Young African | Ligi kuu

Mbona gazeti refu hivi wakati mlipigwa kamoja tu kombe la hisani? Pole sana mkuu
 
Yaani we jamaa umeumia sana , kama inauma chomoa tuu
Sasa niumie kwa kipi?

Tatizo mmekariri vibaya mnataka watu wote tufanane mitazamo na ikiwa tofauti mnatafsiri chuki au maumivu
 
Sasa niumie kwa kipi?

Tatizo mmekariri vibaya mnataka watu wote tufanane mitazamo na ikiwa tofauti mnatafsiri chuki au maumivu
Pole sana , endelea kuugulia ,huo ndio ukwel , comment zako toka mwanzo ni maumivu tele , nakushauri acha kushabikia mpira ,labda ujaribu kushabikia mdako
 
Mchezo wa leo ulikuwa wa kimkakati zaidi kwa Yanga

Mbeya kwanza walikuwa wameahidiwa pesa kwa ajili ya ya kumrudisha Aucho kwenye majeraha na Moloko pia apate majeraha..

Sasa katikati ya uwanja ni salama sana kuelekea mechi ya watani Khalid Aucho&Yanick Bangala na huku mbavu ya kulia ikiwa salama na Jesus Moloko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…