Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mi pia nakupenda hivyo hivyo.....Nakupenda hivyo hivyo!!
Tupendane tu, hakuna namnaMi pianakupenda hivyo hivyo.....
Ubuntu bothooo ππ
Kama na wewe ume anza kunyoosha mikono basi hii imeendaAcha tuu ndugu yangu..jana nimeumia mnoo
Nimeumia tuu kwa matokeo bana...tulikua tunaongoza ghafla yule Kenedy akachafua hali ya hewa..Kama na wewe ume anza kunyoosha mikono basi hii imeenda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
ππ€£πππLolote baya liwakute kolo fc
Wamsajili babra Gonzalez π€£π5imba wafanye nini kipindi cha tatu?
GoliChenchi
Ulimaanisha njaa au?Tutashinda hii
Kwani matokeo droo ni kufeli? Sema malengo hayakua hayo..Ulimaanisha njaa au?
Nafasi ya tatu kuna Coastal union hapoSimba Sc Anacheza Mechi Zake Vizuri Sana Kujihakikishia Nafasi Ya Tatu
Mpambane sana sasa maana nafasi ya tatu ngumu sana, Coastal union nayo wanaitakaKwani matokeo droo ni kufeli? Sema malengo hayakua hayo..
Na nyie juzi ile droo na JKT kumbe mpigwa..
SawaMpambane sana sasa maana nafasi ya tatu ngumu sana, Coastal union nayo wanaitaka
Usinikumbushe machungu
Pyeeeeeeeeeeeee....!π€ΈUsinikumbushe machungu
Hamia Simba nikupe elaPyeeeeeeeeeeeee....!π€Έ
Thubutuuu!!! Siwezi daimaHamia Simba nikupe ela
Hakika lo