Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Mupo kwenye hali mbaya sana.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL