FT: Namungo 2 - 2 Simba | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.04.2024

FT: Namungo 2 - 2 Simba | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.04.2024

Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.

Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Mupo kwenye hali mbaya sana.
 
Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.

Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Mechi inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa inayoburuza mkia kisha anafuatia Tabora. Baada ya Mtibwa kupapatuana na Simba anakuja kuangukia kwa Azam kabla ya kukutana na vita ya wenyewe kwa wenyewe tarehe 9. Nadhani mpaka tarehe 9 tutaanza kupata mwanga wa vita nafasi ya pili ipoje.
 
Mechi inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa inayoburuza mkia kisha anafuatia Tabora. Baada ya Mtibwa kupapatuana na Simba anakuja kuangukia kwa Azam kabla ya kukutana na vita ya wenyewe kwa wenyewe tarehe 9. Nadhani mpaka tarehe 9 tutaanza kupata mwanga wa vita nafasi ya pili ipoje.
Raha sana....
 
Back
Top Bottom