Ila kwa mbindeeeeeNo Diarra
No Lomalisa
No Aucho
No Paccome
No Guede
No Musonda
No Problem
ππ€£ππIla kwa mbindeeeee
Mpaka Sasa goli tatu alafu bado unasema kwa mbinde,duhIla kwa mbindeeeee
π€£π€£π€£ ujue nimecheka. LolKwa hizi goal kwahiyo kihasibu tuna debit au tuna creditπ€£π€£π€£π€£
Mbinde 3 wizard vpIla kwa mbindeeeee
Huyo kolo kavurugwa.Mpaka Sasa goli tatu alafu bado unasema kwa mbinde,duh
Ingekua wapo kina nani wenu wale kipindi cha kwanza tuu walishafunga hawa namungo ndo wanawatesa mpk mfunge kipindi cha pili jamani π π πMpaka Sasa goli tatu alafu bado unasema kwa mbinde,duh
Na yanga bado inakimbizaMpaka Sasa goli tatu alafu bado unasema kwa mbinde,duh
π€£π€£Naunga mkono hoja π€£π
Furahia ushindi acha kupata presha na 3rd partyHuyo kolo kavurugwa.
Poa Uto wizard...Mbinde 3 wizard vp
Wengine tunakaa mbali. ππRefaaa maaliza mpira MB zinakaribia kuishaaaaaa
Kwani kipindi cha pili sio sehemu ya mchezo.. hivi ukiwa kolo unakuwaje?Ingekua wapo kina nani wenu wale kipindi cha kwanza tuu walishafunga hawa namungo ndo wanawatesa mpk mfunge kipindi cha pili jamani π π π
Raha ya bao licheleweIngekua wapo kina nani wenu wale kipindi cha kwanza tuu walishafunga hawa namungo ndo wanawatesa mpk mfunge kipindi cha pili jamani π π π
Kama PrisonsBomu mochwari...