Yanii anakoswakoswa sio poa rafikiRafiki huyu hakawii kutuchomesha.
Kila Mtu Ashinde Mechi Zake Au Unasemaje Mtani?Mshono ushaoza hauumi
Round ya pili tutaweka mshono mpya kabla huo kupoa kabisaMshono ushaoza hauumi
Kweli mtani kwaheriiii...muwe na ushangiliaji mwema..Kila Mtu Ashinde Mechi Zake Au Unasemaje Mtani?
Wewe unaweza kuzihimili za haraka ?Kweli kama watu wenyewe kama namungo kuzihimili ni kazi...
Mbelee mwikooo...Ishaisaa hiii Daima mbeleeeee ππππππͺπͺπͺπͺπΊπΊπΊ
Nikuulize wwWewe unaweza kuzihimili za haraka ?
Kweli mtani kwaheriiii...muwe na ushangiliaji mwema..
π₯π₯π₯3-1 Tumekiwasha kama kawaida yetuuu
Wazee wa Kupeleka Motoo!!πππ
Karibu Tena Mtani.Mbelee mwikooo...