Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ooh! Sawa Swahiba.Nipo swahiba 😀,katecno kenyewe ndio nilikua natumia kuangalia mpira,makolo kama nawaona wanavyoumia 😀
Makolo wamebakia kuhaha tu huku na kule. 😂😂😂 Sisi waleee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Sawa Swahiba.Nipo swahiba 😀,katecno kenyewe ndio nilikua natumia kuangalia mpira,makolo kama nawaona wanavyoumia 😀
Maua eb acha zako bn🤣🤣Mwanaume ambaye yupo yanga huo ni umama 😀😀😀
Nyuma mwiko mbele kwa mbele nyuma haya bana.. 😂 😂Wee Sheeeeeeennndwwwaaaaa!!!🤠🤠🤠😁!
Daima mbeleeeee.. nyuma mwikoo 🤠
Sijadata naona ww ndo unajitoa ufahamu..nimekuuliza funguka pia..Mbona unajitoa ufahamu mtoto wa kike au umedata. Funguka kama kazi unaiweza
Chakuuzia dawa za panya na kunguniKispika
WW unaejua mpira unacheza namba ngapi? Au kocha wa timu gani..njoo tuu direct sema unakereka na hoja zangu...kama hutaki kero acha kusoma comments zangu..kuna watu wa yanga nataniana nao kwa mapana na marefu..Huyu manzi huwa anafosi mpira lakini hajui..,ushabiki umemzidi.
Hamna wasiwasi kwa sababu refa ni wenu.
Ila nikuambie ukweli Namungo sio Mtibwa sugar 😂😂
Mtaondoka na refa wenu mkamdai mshiko mliompa 😂😂🐸
Kesho sina ishu naenda pale karume kusikiliza porojoSimba tunaishia kusengenywa kwenye vijiwe vya Kahawa.
Pesa tunayo tunayoipenda Simba.
Sawa.WW unaejua mpira unacheza namba ngapi? Au kocha wa timu gani..njoo tuu direct sema unakereka na hoja zangu...kama hutaki kero acha kusoma comments zangu..kuna watu wa yanga nataniana nao kwa mapana na marefu..
mkuu ww ni mganga ?Hii game yanga inashinda goli tatu kwa moja(yanga 3 namungo 1)
Wakati huo mm nilikua sijaanza kushabikia. Nachojua mm toka nimeamza kushabikia yanga hatujakoaa ubingwa. Don't stuck to the pastHehe huo ubingwa mliukosa kwa misimu minne mfululizo hivyo kwa misimu hii mitatu ni Zamu yenu kutamba tunaelewa [emoji3][emoji3]
Saluteeeeee...Asante mungu nimetabili haya matokeo kwenye post yangu namba 109
Ndio nimefunguka tatu za kimasai za chap unazihimili ?Sijadata naona ww ndo unajitoa ufahamu..nimekuuliza funguka pia..