Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
🐸🐸bhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?Hii yanga kama man ciry
Hamna uwanja, hamna ndege, hamna hela, halafu unajifananisha na man city kisa mmemfunga mkulima wa korosho 😂😂😂🐸🐸🐸