FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 08.03.2024

FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 08.03.2024

Hii yanga kama man ciry
🐸🐸bhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?

Hamna uwanja, hamna ndege, hamna hela, halafu unajifananisha na man city kisa mmemfunga mkulima wa korosho 😂😂😂🐸🐸🐸
 

Attachments

  • Screenshot_20240308-203602.png
    Screenshot_20240308-203602.png
    108.7 KB · Views: 1
Wazee wenye mahaba na Simba kuliko mahaba yenyewe yalivyo endeleeni kumobserve mnyama...

Hahahahaha Mechi ya Mnyama ni Kama kuangalia Ze Comedy Show ,Watu Baki au Cheka tu maana ukisikiliza Spika Ahmed Ally na kilichotekea yaani full Vichekesho.

Mechi za Yanga sisi huwa tunajua matokeo kwahiyo hata tusipoangalia tunajua kwamba lazima mtu ale 5 hamna hamna 4 au 3.
 
Hahahahaha Mechi ya Mnyama ni Kama kuangalia Ze Comedy Show ,Watu Baki au Cheka tu maana ukisikiliza Spika Ahmed Ally na kilichotekea yaani full Vichekesho.

Mechi za Yanga sisi huwa tunajua matokeo kwahiyo hata tusipoangalia tunajua kwamba lazima mtu ale 5 hamna hamna 4 au 3.
Hahaha hahaha vichekesho vyako kingkong tunabonyeza wapi?.
 
🐸🐸bhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?

Hamna uwanja, hamna ndege, hamna hela, halafu unajifananisha na man city kisa mmemfunga mkulima wa korosho 😂😂😂🐸🐸🐸
Basi chukueni kombe la WhatsApp channel.
Hongereni
 
Basi chukueni kombe la WhatsApp channel.
Hongereni
🐸🐸Endeleeni kujifananisha na hiyo miamba ya soka la ukweli, ulivyo fyatu unadhani team kuwa na channel whatsapp ni upuuzi, hivi kuwa huko timu zote (toa 🐸🐸) nguli duniani zinapimana ubavu huko whatsapp channels?

Mamelodi wapo huko, Al ahaly wapo huko, mnyama yupo huko ila🐸🐸mpo Mbagara na kibaigwa mnatesa NBCPL 😂😂😂
 
Back
Top Bottom