Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Baada ya kurudi tu kipindi cha pili, bahasha ikafanya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki huyu hakawii kutuchomesha.
Baada ya kurudi tu kipindi cha pili, bahasha ikafanya kazi
Inshort neiba timu ni mbovu... Ila bahati tuuHahahaa. Sawa jirani
Bao tatu ni nyingiIla kwa mbindeeeee
Una beti na ww sisy?
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!Kufungwa afungwe Namungo lakini kuumia waumie Makolo. lol
Refa maliza mpira wengine tunanyonyesha. 😂😂
UmeBET?Hongera mtani, dua yangu imefanya Kazi.
Kama ilivyokuwa kwny 5G, maana kipindi cha kwanza kiliisha kwa sareBaada ya kurudi tu kipindi cha pili, bahasha ikafanya kazi
Tunapiga kwenye mshono tuuSisi hata hutushtui kazi kwako ww kutunza hiko kibwagizo cha goli tano...
Kweli kama watu wenyewe kama namungo kuzihimili ni kazi...Bao tatu ni nyingi
Nakuona kama bwabwaWe unaonaje ndugu kolo [emoji2]
ChaiiDaima mbele nyuma mwiko
Mshono ushaoza hauumiTunapiga kwenye mshono tuu
Kazini tumewekeana dau Wananchi na na team koloz!Una beti na ww sisy?
Kama ile bahasha ya PrisonsBaada ya kurudi tu kipindi cha pili, bahasha ikafanya kazi
Pole maana unalala na tension kubwaKazini tumewekeana dau Wananchi na na team koloz!